Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.

عندما تكون متعبًا أو مرتبكًا ولا تعرف بماذا تدعو ، فادع بأن يحقق الله مايرى أنه الأفضل لك

Fredrick gazed into the deep blue eyes of Jackson for a few seconds before answering. “I’d like the best room in the hotel.”
“We have hundreds of rooms here, and all of them are the best.”
“How can they all be number one? Only one can be number one.”
“Ah, this is true. And this is false. What’s the best to you may be worst to someone else. Since every room here is completely different, each room is number one to someone, even if that same room is number two to someone else.”


Wendy’s house, unlike many in Cape Breton, had three floors, along with a basement and attic. Aside from Wendy’s bedroom, there was a laundry room. The dirty water in the sink would rush from the washer hose, bubbling up, threatening to overflow, but it never did. Next-door was a motel with a neon sign that read in turquoise and pink, “We have the best rates in town!”, but the ‘E’ in ‘rates’ kept flickering on and off day and night so that every few seconds it would switch to, “We have the best rats in town!

Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. Zifuatazo ni ngazi tano muhimu zitakazofanya uache dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta: Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka; Tumia kipaji ulichopewa na Mungu; Fanya kazi kwa bidii na maarifa; Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia; Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.

I agree with yours of the 22d that a professorship of Theology should have no place in our institution. but we cannot always do what is absolutely best. those with whom we act, entertaining different views, have the power and the right of carrying them into practice. truth advances, & error recedes step by step only; and to do to our fellow-men the most good in our power, we must lead where we can, follow where we cannot, and still go with them, watching always the favorable moment for helping them to another step.[Comment on establishing Jefferson's University of Virginia, a secular college, in a letter to Thomas Cooper 7 October 1814]

غالبًا ما اتمنى أن أحطم حياتي إلى أجزاء ثم أجمعها معًا بطريقة مختلفة ، العودة إلى الوراء صعبة عندما يكون أمامك عدة خيارات

Marafiki zako wa mwanzo ambao bado ni marafiki zako mpaka sasa ni wazuri kuliko wote kutokana na sababu mbalimbali: Wamekuwepo pamoja nawe katika shida na raha; wanakujua vizuri unapokuwa na furaha, na wanakujua vizuri unapokuwa na huzuni; mmezoeana kwa miaka mingi na wanaujua hata utani wako wa ndani; wanajua nini unapendelea zaidi na nini hupendelei zaidi, na wanazijua sifa zako za ushupavu na sifa zako za udhaifu. Hata hivyo, katika maisha yetu, tunahitaji marafiki wa aina zote mbili kurahisisha maisha. Marafiki wapya hutuongezea viungo muhimu katika maisha yetu wakati marafiki wa mwanzo ni nguzo au miamba imara ya maisha yetu, na ndiyo watu hasa watakaotusaidia katika shida na raha! Usiwapoteze au usiwaache marafiki zako wa mwanzo lakini jenga mahusiano mapya. Marafiki zako wa mwanzo ni dhahabu, wa sasa ni fedha.

Don't ever think that life is unfair. People may be different in status and identity, but what matters most is your personality. God created all humans with equal love and attention. In times that you think you are alone, remember that He is always there for you. He will never leave you because He loves you. Always bear in mind that all of us are His children and He is our father. And in times of need, hold on to Him because He will never let you suffer. Even though life varies in some circumstances, all will experience a composition of victory and failure. Victory as a reward and failure as a lesson. If you are born poor, do everything to achieve your dreams and strive for success. If you are born rich, be charitable to others and keep your feet on the ground. Everyone is special. Everyone is unique. Everyone is blessed. But not everyone knows how to value it. Be the best that you can become, always acquire happiness and live your life to the fullest!

God helps them that help themselves.” When you begin to help yourself, which means to make the best of what is in yourself, you begin to attract to yourself more and more of those helpful things that may exist all about you. In other words, constructive forces attract constructive forces; positive forces attract positive forces. A growing mind attracts elements and forces that help to promote growth, and people who are determined to make more and more of themselves, are drawn more and more into circumstances through which they will find the opportunity to make more of themselves. And this law works not only in connection with the external world, but also the internal world. When you begin to make a positive determined use of those powers in yourself that are already in positive action, you draw forth into action powers within you that have been dormant, and as this process continues, you will find that you will accumulate volume, capacity and power in your mental world, until you finally become a mental giant.