Jina langu ni Enock Maregesi na ningependa kukwambia kisa kidogo kuhusiana na bibi yangu, Martha Maregesi. Mwanamke huyu alikuwa mke mwenye upendo usiokuwa na masharti yoyote. Alikuwa mama na bibi aliyefundisha familia yake umuhimu wa kujitolea na umuhimu wa uvumilivu. Ijapokuwa hakupendelea sana kujizungumzia mwenyewe, ningependa kukusimulia kisa kidogo kuhusiana na hadithi ya maisha ya mwanamke huyu wa ajabu katika maisha yangu.Bibi yangu alizaliwa katika Kitongoji cha Butimba, Kijiji cha Kome, Kata ya Bwasi, Tarafa ya Nyanja (Majita), Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, katika familia ya watoto kumi, mwaka 1930. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kome ambako alipata elimu ya awali na msingi na pia elimu ya kiroho kwani shule yao ilikuwa ya madhehebu ya Kisabato. Aliolewa na Bwana Maregesi Musyangi Sabi mwaka 1946, na kufanikiwa kupata watoto watatu; wa kiume wakiwa wawili na wa kike mmoja. Matatizo hasa ya bibi yalianza mwaka 2005, alipougua kiharusi akiwa nyumbani kwake huko Musoma. Hata hivyo alitibiwa hapo Musoma na Dar es Salaam akapona na kuwa mwenye afya ya kawaida. Lakini tarehe 19/10/2014 alipatwa tena na kiharusi na kulazwa tena katika Hospitali ya Mkoa ya Musoma, ila akajisikia nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani – lakini kwa maagizo ya daktari ya kuendelea na dawa akiwa nje ya hospitali. Tarehe 29/10/2014 alirudi tena Hospitali ya Mkoa ya Musoma kwa tiba zaidi, lakini tarehe 4/11/2014 saa 7:55 usiku akafariki dunia; akiwa amezungukwa na familia yake.Dunia ina watu wachache sana wenye matumaini na misimamo ya kutegemea mazuri, na wachache zaidi ambao wako tayari kugawa matumaini na misimamo hiyo kwa watu wengine. Nitajisikia furaha siku zote kwamba miongoni mwa watu hao wachache, hata bibi yangu alikuwemo. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake. Kwa kuwa bibi yangu ametanguliwa na msalaba, msalaba utamwongoza mahali pa kwenda.
Like (0)Dislike (0)
А не обязательно выставлять напоказ всё, что знаешь. Женщине это не к лицу. И во-вторых, людям вовсе не по вкусу, когда кто-то умней их. Они сердятся. Хоть и говори сам правильно, а их не переменишь, для этого им надо самим научиться, а уж если они не хотят, ничего не поделаешь - либо держи язык за зубами, либо говори, как они.(Кэлпурния - Глазастику Финч)
Like (0)Dislike (0)
Maana halisi ya falsafa ya 'Nitakuwa tayari kufungwa kwa ajili ya matatizo ya watu', au Falsafa ya Kufungwa, ni uvutano mkubwa uliopo kati ya Roho Mtakatifu na Roho wa Shetani kwa sisi wanadamu wote. Jambo lolote baya limtokealo mwanadamu husababishwa na Shetani na si Mungu na watu hupata matatizo kwa sababu ya kudharau miito ya mioyo yao wenyewe, au kudharau kile Roho Mtakatifu anachowambia. Unaweza kuvunja sheria kwa manufaa ya wengi kwani mibaraka haikosi maadui. Ukifungwa kwa kuvunja sheria kwa ajili ya manufaa ya wengi watu watakulaani lakini Mungu atakubariki. Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako. Tukijifunza namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu hatutapata matatizo kwani Mungu anataka tuishi kwa amani katika siku zote alizotupangia, licha ya damu yetu kuwa chafu. Mtu anapokufa kwa mfano, Roho wa Shetani amemshinda Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hatalipendi hilo kwa niaba ya Mungu. Ikitokea mtu akayashinda majaribu ya Shetani katika kipindi ambacho watu wote wameyashindwa; mtu huyo amebarikiwa na Mungu, ili aitumie mibaraka hiyo kuwaepusha wenzake na roho mbaya wa Shetani. Nikisema 'Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako' namaanisha, Roho Mtakatifu ana uwezo wake na Roho wa Shetani ana uwezo wake pia. Ukimshinda Roho wa Shetani uwezo wa Roho Mtakatifu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho wa Shetani, na ukishindwa kumtii Roho Mtakatifu uwezo wa Roho wa Shetani umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho Mtakatifu, ilhali uwezo wa Mungu ni mkubwa kuliko wa Roho Mtakatifu na wa Roho wa Shetani kwa pamoja. Mungu humtumia Roho Mtakatifu kumlindia watoto wake ambao ni sisi dhidi ya Shetani … Kila akifanyacho Roho Mtakatifu hapa duniani ni kwa niaba ya Mungu, na tukimtii Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yetu. Mtu anapofungwa kwa kutetea maslahi ya umma wewe unayemfunga umemtii Roho wa Shetani. Yule anayefungwa amemtii Roho Mtakatifu maana amebarikiwa, na mibaraka haikosi maadui.
Like (0)Dislike (0)
Maana halisi ya falsafa ya 'Nitakuwa tayari kufungwa kwa ajili ya matatizo ya watu', au Falsafa ya Kufungwa, ni uvutano mkubwa uliopo kati ya Roho Mtakatifu na Roho wa Shetani kwa sisi wanadamu wote. Jambo lolote baya limtokealo mwanadamu husababishwa na Shetani na si Mungu na watu hupata matatizo kwa sababu ya kudharau miito ya mioyo yao wenyewe, au kudharau kile Roho Mtakatifu anachowambia. Unaweza kuvunja sheria kwa manufaa ya wengi kwani mibaraka haikosi maadui. Ukifungwa kwa kuvunja sheria kwa ajili ya manufaa ya wengi watu watakulaani lakini Mungu atakubariki. Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako. Tukijifunza namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu hatutapata matatizo kwani Mungu anataka tuishi kwa amani katika siku zote alizotupangia, licha ya damu yetu kuwa chafu. Mtu anapokufa kwa mfano, Roho wa Shetani amemshinda Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hatalipendi hilo kwa niaba ya Mungu. Ikitokea mtu akayashinda majaribu ya Shetani katika kipindi ambacho watu wote wameyashindwa; mtu huyo amebarikiwa na Mungu, ili aitumie mibaraka hiyo kuwaepusha wenzake na roho mbaya wa Shetani. Nikisema 'Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako' namaanisha, Roho Mtakatifu ana uwezo wake na Roho wa Shetani ana uwezo wake pia. Ukimshinda Roho wa Shetani uwezo wa Roho Mtakatifu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho wa Shetani, na ukishindwa kumtii Roho Mtakatifu uwezo wa Roho wa Shetani umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho Mtakatifu, ilhali uwezo wa Mungu ni mkubwa kuliko wa Roho Mtakatifu na wa Roho wa Shetani kwa pamoja. Mungu humtumia Roho Mtakatifu kumlindia watoto wake ambao ni sisi dhidi ya Shetani … Kila akifanyacho Roho Mtakatifu hapa duniani ni kwa niaba ya Mungu, na tukimtii Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yetu. Mtu anapofungwa kwa kutetea maslahi ya umma wewe unayemfunga umemtii Roho wa Shetani. Yule anayefungwa amemtii Roho Mtakatifu maana amebarikiwa, na mibaraka haikosi maadui.
Like (0)Dislike (0)
Он верил, что человек редко бывает виноват в недостатках своих, что его портят воспитание и другие условия жизни; он давал громадное значение внешним обстоятельствам, верил, что в самой тёмной душе бывает искра божия, которая, лишь только подует благотворный ветер, может разгореться прекрасным пламенем.О Егоре Иваныче Молотове- Н.Г. Помяловский "Мещанское счастье
Like (0)Dislike (0)
Бедные люди капризны, — это уж так от природы устроено. Я это и прежде чувствовал. Он, бедный-то человек, он взыскателен; он и на свет-то божий иначе смотрит, и на каждого прохожего косо глядит, да вокруг себя смущенным взором поводит, да прислушивается к каждому слову, — дескать, не про него ли там что говорят? ...И ведомо каждому, Варенька, что бедный человек хуже ветошки и никакого ни от кого уважения получить не може, что уж там ни пиши!
Like (0)Dislike (0)
الناس لا يكلفون انفسهم عناءاً كبيراً في تصوير الحياة وتخيلها، وهم يبدون استعداداً مدهشاً لتصديق ما لا يجوز تصديقه، وتصور مالا ينبغي تصوره، وكأنما آلو على أنفسهم ألا يبذلوا جهداً، وألا يحملوا أنفسهم مشقة أو عناء، والكثرة العظمى من الناس في جهل مطبق بحقائق الحياة، ومع ذلك فهم راضون عن أنفسهم مدافعون عن جهالاتهم وأوهامهم، وإن بعضهم ليتحمس للحياة ويضحي بنفسه في سبيلها، وآية ذلك إن جهالة الجاهل جزء من شخصيته، فهو يجد في الدفاع عنها دفاعاً عن نفسه وعن حياته.
Like (0)Dislike (0)
Ապրիլի 15- Միսս Կինիանն ասում է որ ես արագեմ սովորում: ինքը կարդաց իմ նախորդ հաշվետվություններից մի քանիսն ու մի տեսակ տարօրինակ նայեց ինձ: ասաց որ ես լավ մարդ եմ ու դեռ դրանց բոլորին ցույց կտամ: ես հարցրեցի ինչու: ինքն ասաց կարևոր չէ բայց չպետք է ինձ վատ զգամ եթե հասկանամ որ բոլորը այնքան բարի չեն ինչքան ինձ է թվում: հետո ասաց աստված քեզ այդքան քիչ բան է տվել բայց դու ավելի շատ բաների ես հասել քան լիքը ուրիշ մարդիկ ովքեր չեն էլ փորցում իրենց ունեցած ուղեղները օգտագործել: ես ասացի որ իմ բոլոր ընկերները խելացի են բայց լավն են: նրանք ինձ սիրում են ու երբեք չեն նեղացնում: հետո նրա աչքի մեջ ինչոր բան ընկավ ու նավազեց դուրս լվացվելու:
Like (0)Dislike (0)
Khi đọc ‘Kiều’, nghe những đau khổ và chán chường như thế, ta không thấy dễ chịu trong lòng. Nhưng chúng ta đâu phải chỉ đi tìm sự dễ chịu. Chúng ta đi tìm sự thật. Chúng ta phải có câu trả lời cho tình trạng. Đây không phải chỉ là tình trạng ngày xưa, đay cũng là tình trạng bây giờ. Khi giảng ‘Tâm Kinh Bát Nhã’, tôi cũng đem Tâm Kinh vào xã hội ngày nay. Tôi nói rằng một em bé ở Bangkok bị dụ làm gái ăn sương, chiều đi sáng về, trông thấy những cô nữ sinh áo trắng đi học, ngẫm lại thân mình thì rất tủi. Các cô gái nhà lành thật may mắn. Thân phận em là thân phận ô uế của một cô gái ăn sương. Em có mặc cảm mình là con gái bỏ đi, cón những cô nữ sinh kia là những cô gái đáng sống. Không ai có thể cứu em bé này ra khỏi mặc cảm ô nhục, dơ bẩn, ngoại trừ Bồ Tát Quan Thế m. Bồ Tát nói như thế này: ‘Con không dơ mà mấy cô kia cũng không sạch. Sở dĩ mà con như thế này là vì xã hội như thế kia (Thử hữu cố bỉ hữu, thử vô cố bỉ vô). Xã hội kia được như vậy là vì có những người như con. Con làm ra xã hội và xã hội làm ra con. Không phải chỉ có con mới chịu trách nhiệm về con mà cả xã hội kia cũng phải chịu trách nhiệm về con. Con đừng có mặc cảm con là người duy nhất chịu trách nhiệm. Tất cả những nhà giáo dục, kinh tế, chính trị trong xã hội đều chịu trách nhiệm về con cả.’Đó là ý ‘Không dơ cũng không sạch, Không thêm cũng không bớt’ trong Tâm Kinh Bát Nhã. Nghe Đức Quan Thế m nói như vậy thì ranh giới giữa dơ và sạch, bên này và bên kia mới được tháo sạch và mặc cảm của các cô gái ăn sương lúc đó mới được tháo sạch và mặc cảm của các cô gái ăn sương lúc đó mới có thể được tiêu trừ. Đó là giọt nước Cam Lộ mà đạo Bụt cung cấp. Cái thấy bất nhị này chúng ta ít tìm thấy trong cá truyền thống tôn giáo khác. Cái này như thế này là vì cái kia như thế kia. ‘Thân phận con, cả xã hội đều chịu trách nhiệm. Con đừng có mặc cảm tội lỗi. Nếu người ta sống đàng hoàng, biết lo cho tất cả thì con đã không đến nỗi như thế này đâu.’ Em bé sẽ khoc sẽ ôm lấy chân Đức Quan Thế m. ‘Xin ngài dạy cho con cách để thoát khỏi’. Lúc ấy Đức Quan Thế m mới bắt đầu dạy cho em được. Chúng ta cũng phải làm như thế. Ngày xưa ở Sài Gòn có các sư cô làm chuyện đó. Ngày nay cũng vậy.
Like (0)Dislike (0)
Глядя своими глазами на этих борцов сумо с их безволосым телом, гладкой кожей, скользкой от масла, волосами, собранными в несуразную прическу, я видел лишь гигантских младенцев, отвратительных живых кукол в памперсах; глядя глазами зрителей, сидевших по соседству, я начинал подозревать, что на ринге мужчины, возможно привлекательные самцы, способные соблазнять, а для некоторых девушек, не скрывавших своих чувств, это истинный секс-символ. Это открытие, кажется, озадачило меня больше всего.В то время как борцы пытались вытолкнуть соперника из круга, сам я боролся против собственных предрассудков, постепенно, один за другим выталкивая их из сознания. Нет, я больше не мог презирать тех, кто посвятил жизнь борьбе, формированию собственного тела, людей, проявлявших и силу, и находчивость, ведь масса тела не давала превосходства; порой техника, проворство, хитрость приносили победу тому, кто весил меньше. Эти поединки пробудили во мне страсть, я поймал себя на том, что мысленно ставлю на того или иного борца, выделяю фаворитов. Под конец я вместе с соседями по ряду вскочил и от всей души принялся с жаром аплодировать победителю, блистательному Асёрю, ставшему моим героем.
Like (0)Dislike (0)